Jeremiah 42:5-6

5 aKisha wakamwambia Yeremia, “Bwana na awe shahidi wa kweli na mwaminifu kati yetu kama hatutafanya sawasawa na kila kitu Bwana Mwenyezi Mungu wako atakachokutuma utuambie. 6 bLikiwa jema au likiwa baya, tutamtii Bwana Mwenyezi Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake, ili mambo yote yawe mema kwetu, kwa maana tutamtii Bwana Mwenyezi Mungu wetu.”

Copyright information for SwhKC